Thursday, May 30, 2013

MWENGE UNIVERSITY


Tuesday, May 14, 2013

NINI HUKMU YA KUWA NA RAFIKI WA KIKE/KIUME(BOYFRIEND & GIRLFRIEND)



BISMILLAHIR-RAHMANIR-RAHIIM

Assalam alaykum!!!
Utangulizi
 Kila sifa njema anastahiki kushukuriwa Allah(s.w),Rehma na amani zimuendee kiongozi wa ummah huu Mtume Muhammad(s.a.w) na juu ya aali zake na maswahaba zake wote(r.a
 Napenda kuchukua fursa hii katika kuielimisha na kuikumbusha jamii juu ya suala hili ambalo sasa limechukuliwa kama jambo la kawaida katika jamii zetu na hali sio kutokana na mafunzo ya dini yetu.

UMUHIMU WA UMOJA NA MSHIKAMANO KATIKA UISLAMU


BISMILLAHIR-RAHMANIR-RAHIIM


Assalam alaykum!!
Utangulizi

 Kila sifa njema anastahiki kushukuriwa Allah(s.w),Rehma na amani zimuendee kiongozi wa ummah huu Mtume Muhammad(s.a.w) na juu ya aali zake na maswahaba zake wote(r.a

Napenda kuchukua fursa hii tukufu ili niweze kuufikisha ujumbe huu kwa waislam juu ya Umuhimu wa kuwa na umoja na mshikamano baina yetu.Suala la umoja na mshikamano baina ya waislamu ni jambo ambalo Allah( s.w) analisisitiza sana katika kitabu chake kitakatifu.Hivyo basi umoja baina ya waislamu ni jambo la LAZIMA.Ukiangalia katika ibada zote alizotuwekea Allah(s.w) zinahimiza suala la kuwa na umoja na mshikamano baina yetu waislamu.Angalia tu katika nguzo za uislamu jinsi Allah alivyoziweka na zinavyohimiza umoja baina yetu ni wazi kuwa suala la umoja na mshkamano ni muhimu sana katika uislamu.Ibada ya Swala, Funga , Zakat, Hijjah n.k, hizi zote zina himiza umoja na mshikamano baina yetu. Katika kusisitiz suala hilo Allah anasema katika sura ya 49:10

“Hakika Waumini ni ndugu, basi patanisheni baina ya ndugu zenu, na mcheni Mwenyezi Mungu ili mrehemewe. “
Powered by Blog - Designer