Thursday, January 15, 2015

JARIDA LILILOCHAPISHA KIBONZO CHA MFANO WA MTUME MUHAMMAD AKILIA LIPO HATARINI.

Jarida la Cumhuriyet nchini Uturuki, ndilo pekee katika mataifa ya kiisilamu lililochapisha picha ya kibonzo cha kumkejeli mtume Muhammad iliyokuwa kwenye toleo la Jumatano la jarida la Charlie Hebdo. Hatua hii inasemekana ilikuwa ni ishara ya umoja na kuwauna mkono wachora vibonzo waliouawa nchini Urafansa wiki jana. Tayari vitosho vimetolewa dhidi ya wamili wa jarida hilo la Uturuki  Bila ...

Wednesday, January 7, 2015

ZIJUE NDOA KATIKA UISALAMU

  NDOA KATIKA ISLAM   Kimekusanywa  na  kutarjumiwa  na  AMIRALY  M. H. DATOO     BUKOBA - TANZANIA   YALIYOMO.... 1. MANENO  MAWILI....... 2.UTANGULIZI........ 3. NDOA NA MAISHA YA STAREHE..... 4.MAMBO YANAYOBIDI BIBI NA BWANA WAYAJUE......... 5. UHAKIKA ANAOTAKIWA...
Powered by Blog - Designer