Thursday, November 28, 2013

SABABU NA NAMNA YA KULETA SIJDA-SAHW(sahau)




                          Makala ya Fiqh



.Kuna makosa yanayofanyika katika uletaji wa Sijida Sahau (Sujud as-Sahw)
.Zipo sijda sahau zinazoletwa baada ya kutoa salamu, na zipo za kabla ya salamu
.Iwapo umechelewa kuunga Swala, na Imamu kaleta sijidasahau ufanyeje?         
       
            (Na Omar Haliim, Mfasiri S. Hussein)

Uko katika Swala lakini unapitiwa. Unahisi sijui umeacha jambo fulani, sijui umelifanya. Unakata shauri bora usahihishe kosa kwa kuleta sijida mbili baada ya Swala ili kufidia upungufu huo. Lakini je unafanya jambo hilo kabla ya kumaliza Swala au baada? Je tendo hilo linafidia makosa yote katika Swala, au baadhi tu? Je inakuwaje pale wewe unapopitiwa na jambo fulani katika Swala lakini Imamu unayemfuata hakupitiwa? Je inakuwaje iwapo utakumbuka kosa baadae ukiwa umeshamaliza Swala?

HOJA NA MAONI YETU WAISLAMU JUU YA KATIBA MPYA YA JAMHURI YA MUUNGANO YA TANZANIA KUPITIA SEMINA SHIRIKISHI ZA MTANDAO WA MISIKITI TANZANIA




SEHEMU YA I: UHUSIANO WA SERIKALI, DINI NA MASHIRIKA YA KIDINI
NA.
HOJA
MAONI


1
Kwamba Katiba iliyopo haitambui kuwepo kwa Mwenyezi Mungu na uhalali wa mamlaka ya Mwenyezi Mungu
Katiba mpya itambuwe kuwepo kwa Mwenyezi Mungu na Mamlaka yake juu ya Wanaadamu (kwa mnasaba huu, wananchi wa Tanzania


2
Kwamba Katiba iliyopo haitambui uhalali wa Sheria za Mwenyezi Mungu. Hii inajidhihirisha kwa kauli ya serikali kutokuwa na dini.
Katiba mpya iweke wazi kutambua kwake uhalali wa sheria za Mwenyezi Mungu na kuziheshimu. Maana ya serikali kutokuwa na dini iainishwe na kuwekwa wazi kikatiba.



Wednesday, November 27, 2013

NJAMA ZA MAKAFIRI JUU YA UISLAMU


by yusouf hassan sanga

WANAOABUDU MAKABURI




BY yusouf hassan sanga

MNAFIKI NI NANI?

by yusouf hassan

NINI HUKMU YA KUOA MWANAMKE MJAMZITO?





posted by yusouf hassan
Powered by Blog - Designer