Sunday, April 10, 2016

UCHA MUNGU NA TABIA NJEMA.

Abu Huraira (Radhiya Llahu anhu) alimuuliza Mtume
(Swalla Llahu alayhi wa allam):
"Sababu gani inayoingiza zaidi watu Peponi?"
Mtume (Swalla Llahu alayhi wa sallam) akasema:
"Ucha Mungu na Tabia njema".
Bibi Aisha (Radhiya Llahu anha) amesema:
"Mtume wenu Muhammad (Swalla Llahu alayhi wa sallam) alikuwa
Akizungumza taratibu huku akifikiri (kabla hajasema), lakini nyinyi
mnasema maneno mengi sana".
Powered by Blog - Designer