Saturday, June 1, 2013

TANGAZO

ASSALAM ALLEYKUM WARRAHMATULLAH WABARAKATUH 
Jumuiya ya wanafunzi wa kiislamu chuo kikuu cha Mwenge, Inayofuraha kuwapongeza wanajumuiya wake NURU RAJAB na NASSORO ISSA kwa kutia azma ya kutimiza ibada ya ndoa. Ndoa itakayofanyika mnamo mapema mwezi julai mwaka huu. Jumuiya inawaomba na kuwaarifu  wanjumuiya kutoa ushirikiano wa hali na mali na kuwaunga mkono kwa kuwawaombea DUA katika kufanikisha adhma hiyo.
kila kheri ALLAH awanyie wepesi katika ibada hiyo.

WABILLAH TAWFIIQ


3 comments:

  1. Maaa shaa Allah, may Allah be with them in all steps tht they pass by

    ReplyDelete
  2. Kila la kheri iwe mfano kwa wengine

    ReplyDelete
  3. MASHAAALLAH KHEIRY YA KHARUSI

    ReplyDelete

Powered by Blog - Designer