Monday, August 20, 2018

FADHILA ZA SIKU YA 'ARAFAH NA YAWMUN-NAHR (SIKU YA KUCHINJA)

‘Arafah ni jabali ambalo Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) alisimama katikati ya bonde lake kuhutubia Maswahaba katika Hajjatul-widaa’i. (hajj ya kuaga), na hapo ndipo wanaposimama Mahujaji kutimiza fardhi ya Hajj. Kusimama hapo ndio nguzo mojawapo kuu ya Hajj. Bila ya kusimama ‘Arafah hijjah ya mtu itakuwa haikutimia kwa dalili ifuatayo: عن عبد الرحمن بن يعمر قال: قال رسول الله صلى الله عليه وسلم: ((الْحَجُّ...

Thursday, August 24, 2017

HUKMU YA KUFUPISHA THANAA (KUMTUKUZA ALLAAH) NA KUMSWALIA MTUME (SWALLA ALLAAHU 'ALAYHI WA SALLAM) NA MAAMKIZI YA KIISLAM.

Sifa zote njema Anastahiki Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala) Mola wa walimwengu wote, Swalah na salamu zimshukie kipenzi chetu Mtume Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wasallam) na Swahaba zake (Radhwiya Allaahu ‘anhum) na watangu wema mpaka Siku ya Mwisho. Haifai kabisa kufupisha thanaa kwa maana kumtukuza Allaah (Subhaanahu wa Ta'ala) kwa kuandika (s.w.t). Au kufupisha Jalla Jalaahu kwa kuandika (J.J). Vile vile haifai kumswalia...

Friday, April 7, 2017

JIFUNZE QURAN (SURAH AN-NAHL)

   (80) Na Allah amekujaalieni majumba yenu yawe ni maskani yenu, na amekujaalieni kutokana na ngozi za wanyama nyumba mnazo ziona nyepesi wakati wa safari zenu na wakati wa kutua kwenu. Na kutokana na sufi zao na manyoya yao na nywele zao mnafanya matandiko na mapambo ya kutumia kwa muda. (81) Na Allah amekufanyieni vivuli katika vitu alivyo viumba, na amekufanyieni maskani milimani, na amekufanyieni nguo za kukingeni na joto, na nguo...

Saturday, January 7, 2017

ADABU ZA NDOA KATIKA SUNNAH ILIYOTAKASIKA.

Darsa :01 ( UTANGULIZI WA DARSA LETU ) Sifa zote zamstahiki Allaah ﺳﺒﺤﺎﻧﻪ ﻭﺗﻌﺎﻟﻰ Ambaye Amesema katika aayah iliyo wazi kwenye Kitabu Chake: (( ﻭَﻣِﻦْ ﺁﻳَﺎﺗِﻪِ ﺃَﻥْ ﺧَﻠَﻖَ ﻟَﻜُﻢ ﻣِّﻦْ ﺃَﻧﻔُﺴِﻜُﻢْ ﺃَﺯْﻭَﺍﺟًﺎ ﻟِّﺘَﺴْﻜُﻨُﻮﺍ ﺇِﻟَﻴْﻬَﺎ ﻭَﺟَﻌَﻞَ ﺑَﻴْﻨَﻜُﻢ ﻣَّﻮَﺩَّﺓً ﻭَﺭَﺣْﻤَﺔً ﺇِﻥَّ ﻓِﻲ ﺫَﻟِﻚَ ﻟَﺂﻳَﺎﺕٍ ﻟِّﻘَﻮْﻡٍ ﻳَﺘَﻔَﻜَّﺮُﻭﻥَ )) ((Na katika Ishara Zake ni kuwa Amekuumbieni wake zenu kutokana na nafsi zenu ili mpate utulivu kwao. Naye Amejaalia mapenzi na huruma baina yenu. Hakika katika haya bila ya shaka zipo Ishara kwa watu wanaofikiri))...

Wednesday, December 21, 2016

MWANAFUNZI WA KIKE WA KIISLAMU AGOMA KUMPA MKONO RAIS WA UJERUMANI.

Mwanafunzi wa kike wa kiislamu mwenye asili ya Syria wa shule ya Theodor Heuss nchini Ujerumani amekataa kusalimiana kwa kumpa Rais wa nchi hiyo pale alipozuru katika shule yao.Tukio hilo lililotokea mwishoni mwa mwezi uliopita pale Rais Joachim Gauck alipotembelea mji wa Offenbach na shule hiyo inayounganisha wahamiaji na jamii ya kijerumani.Rais Joachim alitembelea shule ya Theodor Heuss kwa ajili ya kuwapongeza kwa kuwasaidia na kusomesha watoto...

Sunday, November 6, 2016

HADIYTH AL-QUDSIY HADIYTH YA 37: EE BIN AADAM! SITOJALI DHAMBI ZAKO MADAMU UTANIKARIBIA KUOMBA MAGHFIRAH.

Hadiyth Al-Qudsiy Hadiyth Ya 37 Ee Bin Aadam! Sitojali Dhambi Zako Madamu Utanikaribia Kuomba Maghfirah عن أَنَس بْن مَالِكٍ قَالَ: سَمِعْتُ رَسُولَ اللَّهِ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ يَقُولُ: ((قَالَ اللَّهُ تَبَارَكَ وَتَعَالَى يَا ابْنَ آدَمَ، إِنَّكَ مَا دَعَوْتَنِي وَرَجَوْتَنِي غَفَرْتُ لَكَ عَلَى مَا كَانَ فِيكَ وَلَا أُبَالِي، يَا ابْنَ آدَمَ لَوْ بَلَغَتْ ذُنُوبُكَ عَنَانَ السَّمَاءِ ثُمَّ اسْتَغْفَرْتَنِي غَفَرْتُ لَكَ وَلَا أُبَالِي، يَا ابْنَ آدَمَ إِنَّكَ لَوْ أَتَيْتَنِي بِقُرَابِ الْأَرْضِ خَطَايَا ثُمَّ...

WEWE PEKEE TUNAKUABUDU NA WEWE PEKEE TUNAKUOMBA MSAADA: 12 - WASIYLAH NA TAWASSUL.

إِيَّاكَ نَعْبُدُ وَإِيَّاكَ نَسْتَعِينُ Wewe Pekee Tunakuabudu Na Wewe Pekee Tunakuomba Msaada 12 - Wasiylah Na Tawassul  Maana ya Wasiylah  Kwanza:  Ni daraja au cheo cha juu kabisa atakachopewa Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) huko Jannah kutokana na Hadiyth:     عَنْ عَبْدِ اللَّهِ بْنِ عَمْرِو بْنِ الْعَاصِ (رضي الله عنه)  أَنَّهُ سَمِعَ النَّبِيَّ (صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ) يَقُولُ: ((إِذَا سَمِعْتُمْ الْمُؤَذِّنَ فَقُولُوا مِثْلَ مَا يَقُولُ ثُمَّ صَلُّوا...
Powered by Blog - Designer